Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

TATIZO LA KUHARISHA KWA WATOTO WADOGO

Tatizo la kuharisha huondoa uhai wa watoto wengi sana duniani. Husababisha upotevu wa maji na chumvichumvi muhimu za mwili. Watoto wanaoharisha hulegea sana,huishiwa nguvu,hulialia kila muda,huhangaika bila sababu na macho yao huingia ndani.Katika mazingira ya kawaida tatizo hili linaweza kudumu kwa siku moja au mbili hivi

Ukiona mwanao anaharisha mfululizo kwa zaidi ya siku 2 inapaswa umuwahishe hospitalini haraka sana. Athari za tatizo hili ni kutokea kwa homa kali,kupotea kwa hamu ya kula,kupoteza uzito na kutokana na upoteaji wa maji mengi na chumvichumvi unaotokea,mtoto huyu anaweza kupata kifafa,matatizo kwenye ubongo pamoja na kifo. cc.afya-info

.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!




Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.