Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

WANAUME WENYE UZITO MKUBWA WATAPATA ATHARI ZIFUATAZO

WANAUME WENYE UZITO MKUBWA WATAPATA ATHARI ZIFUATAZO

➡️ Uzito Mkubwa


1) Matatizo ya kusimamisha uume(erectile dysfunction)


2) Kupungukiwa au kutokua na hamasa ya tendo la ndoa (decreased/loss of libido)


3) Kupungukiwa mbegu za kiume (Low sperm count)


4) Ugumba/utasa(infertility)


5) Kua na uume mdogo na unaweza hata kua kama wa mtoto(micropenis)


6) Kua/kuota na matiti (gynecomastia)


7) Kua na mifupa laini au isokua imara (low bone mineral density)


8) Misuli kuisha/kupungua pamoja kuishiwa nguvu ya misuli (sarcopenia)


9) Homa za mara kwa mara


10) Matatizo ya kiufahamu (Difficulty concentrating,cognitive impairment)


11) Shinikizo la damu(hypertension)


12) Kua na hasira hasira za haraka (increased irritability)


13) Kupungukiwa na damu (anemia)


14) Kisukari (type 2 diabetes mellitus)


15) Magonjwa ya moyo(cardiovascular disease)


16) Kujiona mnyonge,mdhaifu (Poor self-image)


17) Sonona(Depression)


18) Kupungua kwa nywele katika sehemu mbalimbali za mwili (Decrease in hair growth on the face and body)


Sasa ndugu zanguni mambo haya yatatibika na yanakaa vizuri kabisa,jitahidi sana upunguze uzito na ufike kwenye BMI ambayo ni nzuri kiafya kadhalika mambo mengine yanatatulika tu vizuri kwa ushauri na dawa. Kwa yeyote unaesomaga makala hii na unahisi una tatizo hili,au una ndugu/rafiki yako ana tatizo hili,au mumeo/,mpenzi wako msauri aonane na mtaalamu wa afya alie karibe nae kwa ajili ya kumsaidia .


HAYA MAMBO YANATATULIKA VIZURI KABISA,MWANAUME CHUKUA HATUA

.

Mwisho.

.

.

.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!



Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.