Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

DALILI ZA FANGASI WA KICHWANI(VIBARANGO,MAPUNYE) PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI KICHWANI

• • • • •

DALILI ZA FANGASI WA KICHWANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 

Fangasi wa kichwani hupenda kuwashambulia watoto wadogo zaidi ya watu wazima, Japo hata watu wazima wanaweza kupatwa na tatizo hili la Fangasi wa kichwani. Hapa ndipo majina mbali mbali yakatokea kama vile Mapunye, vibarango N.K lakini yote yanamaanisha dalili za mashambulizi ya ugonjwa wa Fangasi wa kichwani.

 

Lakini kuna fangasi pia wa maeneo mengine mbali mbali ya mwili kama vile;

 

– Fangasi wa Kwenye kucha

 

– Fangasi wa kwenye damu

 

– Fangasi wa miguuni

 

– Fangasi wa kwenye Ngozi

 

– Fangasi wa kwenye ulimi

 

– Fangasi wa kooni

 

– Fangasi wa tumboni

 

– Fangasi wa ukeni

 

– Fangasi wa uumeni na korodani

 

– Fangasi wa mdomoni

N.K

 

• Soma: Ugonjwa wa Lawalawa,chanzo,dalili na Tiba yake

 

DALILI ZA FANGASI WA KICHWANI NI PAMOJA NA;

 

1. Ngozi ya kichwani kuanza kukakamaa na kubadilika rangi kwa mafungu

 

2. Kuwa na vitu kama mashalingi ya rangi nyeupe kichwani

 

3. Kutoa kama mba eneo la kichwani

 

4. Na wakati mwingine eneo la mashilingi kutoa vitu kama usaha

 

5. Kuwa na vidonda na michubuko kwenye ngozi ya kichwani

 

6. Kuwashwa sana kwenye Ngozi ya  kichwani

 

• Soma: Ugonjwa wa Lawalawa,chanzo,dalili na Tiba yake

 

MATIBABU YA FANGASI WA KICHWANI

 

– Fangasi wa kichwani hutibiwa kwa kutumia aina mbali mbali za dawa za fangasi ambapo zipo dawa za kupaka na endapo tatizo litakuwa sugu na la kujirudia rudia mgonjwa atapewa dawa za fangasi wa kichwani za kunywa.

 

• Soma: Ugonjwa wa Lawalawa,chanzo,dalili na Tiba yake

 

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

 

 

 

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass