Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

FAIDA ZA KUAMKA ASUBUHI NA MAPEMA

  KUAMKA MAPEMA

• • • • •

FAIDA ZA KUAMKA ASUBUHI NA MAPEMA


Watu wengi hawajui kwamba kuna faida za kuamka asubuhi na mapema, huku wengine wakiamka tu mapema kwa sababu wana shuhuli nyingi ambazo huwafanya waamke asubuhi na mapema. 


Kuna faida nyingi katika mwili wa binadamu kwa mtu ambaye ana tabia ya kuamka mapema, na katika makala hii tumechambua baadhi ya faida hizo.


FAIDA ZA KUAMKA ASUBUHI NA MAPEMA


– Husaidia kuimarisha afya nzima ya Ubongo wako


– Huimarisha uwezo wa  kutunza kumbukumbu kwa mtu


– Husaidia katika kuimarisha afya ya moyo ikiwa ni pamoja na kuzuia usipatwe na magonjwa mbali mbali ya moyo


– Husaidia katika kuimarisha mfumo mzima wa damu ikiwa ni pamoja na mzunguko wake


– Husaidia kupata muda mzuri wa kufanya mazoezi ya mwili kwa afya yako


– Husaidia katika kupanga mipango ya siku nzima



Pia wataalam wa afya hushauri upate muda wa kutosha wa kulala na kujipumzisha ndipo uamke mapema pia.


Kwani hata kuchelewa kulala sana na kukosa muda wa kutosha kulala huweza kuleta madhara mbali mbali kama vile; Kuathiri uwezo wa ubongo kufanya kazi, kudhoofika kwa mwili na N.K



KWA USHAURI ZAIDI AU ELIMU TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.



Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.