Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

SIRI USIYOIFAHAMU KUHUSU MAJI YA KUNYWA

 MAJI YA KUNYWA

• • • • •

SIRI USIYOIFAHAMU KUHUSU MAJI YA KUNYWA


Mbali na faida lukuki ambazo zipo kwenye maji ya kunywa.Mwili wa binadamu kwa kiasi kikubwa umetawaliwa na sehemu ya maji.


Hata ubongo pia unahitaji maji kwa kiasi kikubwa sana


Hapa utakubaliana na mimi kwamba,Maji ni uhai.


Lakini pia maji ndyo husaidia katika kupikia,kuosha vyombo,kufua,kuoga pamoja na matumizi mengine kama vile; Chooni N.K


Katika afya ya binadamu maji huchangia kwa asilimia kubwa sana kuliko kitu kingine chochote.


Fahamu hii; Utafiti unaonyesha kwamba, Ukinywa maji wastani wa Lita 2.5 kwa siku unapunguza uwezekano wa kupatwa na UTI kwa zaidi ya asilimia 50%.


Lakini pia hata kama una Uti,Maji yenyewe huweza kukusaidia wewe kupona kabsa UTI ambayo uko nayo.


Ndyo mana unashauriwa kutumia maji sana kwa siku angalau Lita 2.5 mpaka 3 kwa siku. Hii ni bora sana kwa afya ya mwili wako.


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.


Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.