VITU VYA KUZINGATIA KWENYE MAZIWA YA MTOTO
MAZIWA YA MTOTO
• • • • •
VITU VYA KUZINGATIA KWENYE MAZIWA YA MTOTO
Kwanza kabsa nianze kwa kutoa ufafanuzi kuhusu unyonyeshaji wa mtoto(kanuni inasemaje).
Mtoto anapozaliwa anatakiwa kupewa maziwa ya mama pekee bila kuchanganyiwa na kitu kingine chochote kwa kipindi cha miezi sita ya mwanzoni, Hata maji hapewi, hii kanuni kwa kitaalam tunaita EXCLUSIVE BREASTFEEDING.
Baada ya kumaliza miezi sita ya mwanzoni,anza kumchanganyia mtoto maziwa ya mama na vyakula vingine, ila usiache kumnyonyesha hadi afikishe umri wa miaka 2 au 3.
VITU VYA KUZINGATIA KWENYE MAZIWA YA MTOTO
KWA USHAURI ZAIDI AU ELIMU TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.