Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

VITU VYA KUZINGATIA KWENYE MAZIWA YA MTOTO

  MAZIWA YA MTOTO

• • • • •

VITU VYA KUZINGATIA KWENYE MAZIWA YA MTOTO


Kwanza kabsa nianze kwa kutoa ufafanuzi kuhusu unyonyeshaji wa mtoto(kanuni inasemaje).


Mtoto anapozaliwa anatakiwa kupewa maziwa ya mama pekee bila kuchanganyiwa na kitu kingine chochote kwa kipindi cha miezi sita ya mwanzoni, Hata maji hapewi, hii kanuni kwa kitaalam tunaita  EXCLUSIVE BREASTFEEDING.


Baada ya kumaliza miezi sita ya mwanzoni,anza kumchanganyia mtoto maziwa ya mama na vyakula vingine, ila usiache kumnyonyesha hadi afikishe umri wa miaka 2 au 3.


VITU VYA KUZINGATIA KWENYE MAZIWA YA MTOTO


– Maziwa ya mtoto hayatakiwi kukamuliwa kutoka kwa mama na kuwekwa kwa muda mrefu mfano; kwa muda wa zaidi ya saa sita ndipo mtoto apewe.

– Maziwa ya mama hayatakiwi kupakwa kitu chochote wakati mtoto ananyonya, bali hakikisha unaosha vizuri matiti yako kabla ya kuanza kumnyonyesha mtoto

– Mtoto hatakiwi kupewa maziwa ambayo yamekaa kwa siku nzima

– Maziwa ya mtoto yasichanganywe na kitu kingine chochote kama vile maji,sukari N.K. yanatakiwa yawe kama yanavyotoka kwa mama vile vile bila mchanganyo wa aina yoyote

– 


KWA USHAURI ZAIDI AU ELIMU TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.



Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.