Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

FAIDA 11 ZA EMBE MWILINI(soma makala hii)

 EMBE

• • • • •

FAIDA 11 ZA EMBE MWILINI(soma makala hii)

1. Embe hupunguza kiwango cha Cholestrol mwilini

2. Embe husaidia sana kwa wagonjwa wa Kiharusi

3. Embe husaidia kuimarisha kinga ya mwili

4. Embe husaidia kuboresha afya ya ngozi

5. Embe husaidia kwa watu wenye matatizo ya choo kigumu ikiwa ni pamoja na machungwa,Parachichi na mapapai

6. Embe husaidia katika kuzuia kansa mbali mbali mwilini

7. Embe husaidia kusafisha damu

8. Embe husaidia kuboresha uono na afya ya macho kwa ujumla wake

9. Embe husaidia kurekebisha kiwango cha Insulin mwilini

10. Embe husaidia kuimarisha pamoja na kuboresha mmeng’enyo wa chakula mwilini

11. Embe husaidia kupunguza kiwango cha Acid mwilini

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

 

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.