Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

IDADI YA WAGONJWA WA FIGO INAONGEZEKA DUNIANI(epuka haya)

 FIGO

• • • •

IDADI YA WAGONJWA WA FIGO INAONGEZEKA DUNIANI(epuka haya)

1. Epuka matumizi ya pombe kwa kiasi kikubwa

2. Epuka uvutaji wa sigara

3. Dhibiti uzito wako wa mwili na kuepuka shida ya kuwa na uzito uliopitiliza

4. Epuka matumizi ya dawa hovio

5. Dhibiti kiwango cha sukari kwenye mwili wako

6. Dhibiti kiwango cha Presha au shinikizo la damu

7. Epuka kula vyakula ambavyo vina kiwango kikubwa cha mafuta

8. Jenga tabia ya kufanya mazoezi kila siku angalau kwa dakika 30

9. Tibu tatizo la UTI kama unalo,Epuka kukaa na tatizo hili bila tiba

10. Kutana na wataalam wa afya kama unahisi unaumwa

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.