Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

KUCHANGIA KIJIKO NA MTOTO(wakati wa kumlisha)

 AFYA KWA MTOTO

• • • • •

KUCHANGIA KIJIKO NA MTOTO(wakati wa kumlisha)


Wazazi wengi au walezi wengi huchangia kijiko kimoja cha chakula na mtoto wakati wa kumlisha eti ili kuangalia kuwa chakula kimepoa au kama njia ya kumfanya mtoto aweze kula kwa haraka.


Tabia hii sio salama kabsa kwa afya ya mtoto wako, fahamu kwamba unaweza kutoa vimelea mbali mbali vya magonjwa kutoka kwako kupeleka kwa mtoto kwa njia hii ya mdomo.


Acha tabia hii ya kumlisha mtoto huku ukiwa unashare kijiko kimoja na mtoto, hata kama ni mtoto wako wa kumzaa, bado sio salama kwa afya yake


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.




Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.