Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

KUPATA MAARIFA KUHUSU AFYA YAKO(huduma)

 AFYA TIPS

• • • • •

KUPATA MAARIFA KUHUSU AFYA YAKO(huduma)


Katika ulimwengu wa sasa ni dhahiri kwamba dunia ipo kiganjani kwako, Hivo basi kwa kutumia tu simu yako ya mkononi unaweza kupata faida nyingi sana, ikiwa ni pamoja na faida ya kuimarisha afya yako kupitia usomaji wa makala mbali mbali za afya.


Hivo basi, endapo utafahamu jinsi ya kutafta taarifa sahihi mtandaoni, itakusaidia wewe kujifunza vitu vingi ikiwa ni pamoja na kujua dalili za magonjwa mbali mbali ambayo huweza kukupata kwa muda wowote.


Jifunze zaidi mambo yanayohusu afya yako mtandaoni ili kuongeza maarifa zaidi, na kuweza kujikinga na magonjwa mbali mbali hatarishi.


• Soma: Dalili za Ugonjwa wa Fangasi wa kichwani


Unaweza kujifunza kuhusu magonjwa mengi tu ambayo husumbua sana watu kwa hivi sasa na jinsi ya kujikinga na magonjwa hayo, Magonjwa hayo ni kama vile;


1. Ugonjwa wa kansa au Saratani ambapo kuna aina nyingi sana za saratani mfano;


– Kuna saratani ya damu


– Saratani ya matiti


– Saratani ya shingo ya kizazi


– Saratani ya ngozi


– Saratani ya koo


– Saratani ya tezi dume


– Saratani ya mifupa

N.K


2. Ugonjwa wa presha au shinikizo la damu


3. Ugonjwa wa kisukari


4. Magonjwa mbali mbali ya moyo ikiwa ni pamoja na moyo kuwa mkubwa,tatizo la mfumo wa umeme ndani ya moyo  pamoja na mishipa ya damu kuziba ndani ya moyo


5. Uvimbe wa kizazi  pamoja na kuziba kwa mirija ya uzazi kwa wanawake


6. Ugonjwa wa UTI


7. Ugonjwa wa Fangazi za aina mbali mbali kama vile;


– Fangasi wa sehemu za siri


– Fangasi wa kwenye damu


– Fangasi wa miguuni


– Fangasi wa ulimi


– Fangasi wa mdomoni

N.K


8. Ugonjwa wa vidonda vya tumbo


9. Maambukizi kwenye via vya uzazi vya mwanamke yaani PID


10. Tatizo la mvurugiko wa vichocheo mwilini yaani hormone imbalance


11. Magonjwa mbali mbali ya zinaa kama vile; kisonono, Chlamydia kaswende pamoja na ugonjwa wa Ukimwi


12. Pamoja na magonjwa mengine ambayo sikuyataja hapa


Soma: Dalili za Ugonjwa wa Fangasi wa kichwani


Hivo ongeza maarifa zaidi kupitia simu yako ya mkononi, na fwatilia makala mbali mbali za afya ili upate faida zaidi kwenye huu ulimwengu wa sayansi na Teknologia


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.



Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

One Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.