Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

MADHARA YA KULALA NA JIKO LA MKAA NDANI

 JIKO LA MKAA

• • • • •

MADHARA YA KULALA NA JIKO LA MKAA NDANI

Moja ya madhara makubwa ambayo hutokana na mtu kulala na jiko la Mkaa ndani ni Kifo,

Kwanini jiko la mkaa huweza kusababisha kifo?

SOMA HAPA; Jiko la mkaa hutoa hewa ya Carbondioxide kwa kiwango kikubwa, Na mtu hutakiwa kuvuta hewa safi ya Oxygen,

Hivo basi, Endapo utalala na jiko la mkaa ndani ya chumba halafu umefunga milango pamoja na madirisha yote, itasababisha jiko lizalishe kiwango kikubwa cha Carbondioxide na kujikusanya ndani ya chumba,

Hali ambayo husababisha mtu kukosa kabsa hewa safi ya Oxygen, matokeo yake ni mtu kukosa pumzi, kushindwa kupumua na kufariki.

Epuka Tabia ya kulala na Jiko la mkaa ndani kwani ni hatari sana kwa Afya yako.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.