Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

MADHARA YA KUSHIRIKIANA TAULO LA KUOGEA

 TAULO

• • • • •

MADHARA YA KUSHIRIKIANA TAULO LA KUOGEA


Baadhi ya watu bado wana tabia hii ya kushirikiana Taulo la kuogea hasa Kwa wanafunzi ambao wapo boding School.


Tabia hii sio nzuri kiafya kwani unaweza kukaribisha magonjwa wewe mwenyewe.


MADHARA YA KUSHIRIKIANA TAULO LA KUOGEA


– Madhara ambayo huweza kutokana na watu kushirikiana taulo la Kuogea ni pamoja na kupata maambukizi ya;


• Magonjwa ya ngozi endapo ukishirikiana taulo na mtu mwenye tatizo hili


• Lakini pia unajiweka katika hatari ya kupata mashambulizi ya Fangasi wa kwenye ngozi na Fangasi wa Sehemu za siri, 


hasa pale utakapotumia taulo ambalo lina unyevu unyevu baada ya kutumiwa na mwenzako


Kinga ni Bora kuliko Tiba, Epuka tabia hii ya kushirikiana Taulo la kuogea.


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.





Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.