Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

MADHARA YA KUTOKUMALIZA DOSE ZA DAWA MARA KWA MARA

 DAWA

• • • •

MADHARA YA KUTOKUMALIZA DOSE ZA DAWA MARA KWA MARA


Watu wengi hawamalizi dose za dawa kama walivyoelekezwa na wataalam wa Afya, hasa baada ya kupata nafuu au kupona ugonjwa ambao unawasumbua,


Ukweli ni kwamba tabia hii ina madhara, na moja ya madhara yake ni pamoja na;


✓ Kusababisha ugonjwa kurudi tena ndani ya muda mfupi


✓ Dawa ulizotumia kutokufanya kazi mwilini


✓ Kusababisha hali ya usugu wa mwili kwenye dawa flani, hivo kupelekea dawa hiyo kushindwa kutibu tatizo kila mara unavyoitumia


Epuka tabia ya kuachia dose za dawa Njiani,Maliza dawa hata baada ya kupata nafuu au kupona


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.




Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.