Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

JE NI UMRI UPI SAHIHI WA MWANAUME KUTAHIRIWA?(soma kujua)

 Kutahiriwa

• • • • •

JE NI UMRI UPI SAHIHI WA MWANAUME KUTAHIRIWA?(soma kujua)


Watu wengi wamekuwa wakijiuliza swali hili, kwamba je ni umri upi sahihi wa mtoto wa kiume kutahiriwa?


Kutokana na makala mbali mbali za wataalam wa afya, Hakuna umri maalumu, japo wengine hushauri ni vizuri mtu atahiriwe akiwa na umri mdogo Mfano; miaka 3, 5, 6 n.k


Japo hata kama umri ni mkubwa kutokana na umuhimu wa mwanaume kutahiriwa ni vizuri pia kufanyiwa huduma hii bila kujali aliwahi au kuchelewa.


Kutahiriwa husaidia sana kumkinga mwanaume na magonjwa mbali mbali pamoja na kumuweka katika hali ya usafi zaidi, Kujua umuhimu wa mwanaume kutahiriwa soma hapa.!!



NA KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUNAWEZA KUWASILIANA KWA NAMBA +255758286584.


Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.