Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

MAMBO AMBAYO SIO YA KWELI KUHUSU UTI

 UTI

• • • • 

MAMBO AMBAYO SIO YA KWELI KUHUSU UTI


Ugonjwa wa UTI umekuwa ukiwasumbua watu wengi sana mara kwa mara, huku wengine wakianza kueleweshana vitu visivyo sahihi kuhusu shida hii.


MAMBO AMBAYO SIO YA KWELI KUHUSU UTI


• UTI husababishwa na Mtu kufanya mapenzi mara kwa mara


• UTI huweza kumpata mtu kupitia mdomoni


• UTI huweza kusababisha mwanaume kuwa na hamu ya kufanya mapenzi zaidi kuliko kawaida


• UTI ni ugonjwa wa Wanawake tu


• UTI haiwezi kutokea kwa Mwanamke baada ya kujifungua


• Mwanaume huweza kumuambukiza mwenzake baada ya kuvaa nguo moja au kushare


• Hakuna uhusinao kati ya ugonjwa wa UTI na maumivu makali ya Mkojo


• Mwanamke mwenye UTI za Mara kwa mara huweza kutolewa kizazi


FAHAMU BAADHI YA DALILI ZA UGONJWA WA UTI


– Mtu kukojoa mara kwa mara


– Mkojo kuchoma wakati wa kukojoa


– Mtu kupata maumivu ya tumbo hasa upande wa kushoto kwa chini


– Joto la mwili kuwa juu au mtu kuwa na homa


– Maumivu ya joints,viungo pamoja na Misuli

n.k



KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.




Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.