Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

FAHAMU; MAJANI YA MPERA HUSAIDIA SANA KUTIBU MATATIZO YA HEDHI

 MPERA

• • • • •

FAHAMU; MAJANI YA MPERA HUSAIDIA SANA KUTIBU MATATIZO YA HEDHI


Juisi ( Chai/maji ) ya majani ya mpera huwa na uwezo mkubwa sana wa kupunguza ukubwa wa maumivu ya hedhi pamoja na kutoa hedhi yenye mabonge ya damu.


 Uwepo wa ferulic acid, gallic acid na quercetin kwenye majani haya ndiyo siri kubwa ya ufanisi wake.


Muhimu ni kupata Elimu ya kutosha kuhusu maandalizi yake na Jinsi ya kuyatumia


#asili


Kwa ushauri zaidi,elimu au Tiba tuwasiliane kwa namba +255758286584.



Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.