Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

UGONJWA WA MASUNDO SUNDO YA ULIMI((condylomata acuminata tongue)

Ugonjwa huu unaitwa masundo sundo ya ulimi (condylomata acuminata tongue). Hali hii husabababishwa na kirusi aitwae human papilloma virus (HPV).

Watu wanaopata Hali hii ni wale wanaonyonya nyonya sehemu za Siri hovyo yaani kufanya mapenzi ya mdomo na mtu mwenye virusi Hawa.

Kuepuka tatizo hilo Baki njia kuu ,Baki na wako ,anatosha tu

Kirusi hiki cha Human papilloma virus(HPV) huweza kusababisha magonjwa mengine kama vile:

– Ugonjwa wa genital warts yaani masundo sundo sehemu za siri

– Ugonjwa wa saratani ya shingo ya kizazi yaani Cervical cancer

– Pamoja na magonjwa mengine ya Zinaa

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.