Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

FANYA VITU HIVI JIKINGE NA SARATANI

Zipo aina nyingi sana za saratani ambazo baadhi yake ni kama vile;

Saratani ya mapafu

Saratani ya la matiti

Saratani ya mlango wa kizazi

Saratani ya Damu

Saratani ya Koo

Saratani ya Ubongo

Saratani ya Utumbo n.k

FANYA VITU HIVI JIKINGE NA SARATANI HIZO;

-Epuka uvutaji wa sigara

– Punguza uzito wako wa mwili,epuka uzito mkubwa,unene n.k

– Epuka matumizi ya pombe kupita kiasi

– Epuka kukaa kwenye mionzi mikali

– Epuka matumizi ya vyakula vyenye mafuta mengi

– Jijengee utaratibu wa kufanya mazoezi mbali mbali ya mwili kila siku

– Epuka matumizi ya dawa hovio pasipo maelekezo kutoka kwa wataalam

– Epuka kutumia madawa ya kulevyia N.k

Kumbuka; Kinga ni Bora kuliko Tiba,Chukua tahadhari

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.