Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

UGONJWA WA LASSA FEVER,CHANZO,DALILI NA TIBA

UGONJWA WA LASSA FEVER,CHANZO,DALILI NA TIBA

Ugonjwa huu wa lassa Fever ni ugonjwa ambao husababishwa na Virusi au ni Viral haemorrhaigeic fever,

ambapo mwanzoni kabsa huweza kusambazwa kwa njia ya chakula,kinyesi au mkojo kutoka kwa panya maarufu kama Mastomy’s Rats,

Lakini pia unaweza kuupata kutoka kwa mgonjwa kwa njia ya damu,maji maji ya mgonjwa n.k

Ugonjwa wa Lassa Fever umeathiri sana maeneo ya Afrika ya Magharibi(Western africa),

Hasa maeneo ya Sierra Leone,Guinea,Liberia na Nigeria.

DALILI ZA UGONJWA WA LASSA FEVER NI PAMOJA NA;

– Mtu kupata homa kali

– Maumivu makali ya kichwa

– Mwili kuchoka kupita kawaida

– Kupata vidonda kooni yaani Sore throat

– Maumivu makali ya misuli,mifupa,joint,kiuno n.k

– Kuhisi kichefuchefu na kutapika

– Mgonjwa kuharisha

– Mgonjwa kukohoa sana

– Mgonjwa kupata maumivu makali ya tumbo n.k

MATIBABU YA UGONJWA WA LASSA FEVER

Dawa ambayo ipo kwenye kundi la Antiviral Drug ijulikanayo kama RIBAVIRIN imeonyesha matokeo mazuri ugonjwa ukiwa kwenye stage za mwanzoni.

fanya vipimo na kuanza tiba mapema kama una dalili kama hizi

KWA USHAURI ZADI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.