Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

KUVAA CONDOM MBILI KWA WAKATI MMOJA SIO SAHIHI

KUVAA CONDOM MBILI KWA WAKATI MMOJA SIO SAHIHI,

Fahamu kwamba kuvaa condom zaidi ya moja,

yaani kuanzia mbili na kuendelea kwa wakati mmoja wakati unafanya tendo la ndoa sio sahihi,

wanaume wengi wamekuwa na dhana hii,kwamba wakivaa condom nyingi ndyo hujikinga zaidi,

Hayo sio matumizi sahihi ya Condom, na hivo ndyo unaharibu zaidi,

Tumia condom moja moja ila kwa usahihi inatosha,

fata kanuni zote za matumizi sahihi ya Condom.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.