MAAMBUKIZI YA MAGONJWA NDANI YA KINYWA
MAAMBUKIZI YA MAGONJWA NDANI YA KINYWA,
Wataalam wa meno wanasema,asilimia kubwa ya watu wenye matatizo ya meno,
chanzo kikubwa huwa ni uchafu unaoganda ndani ya kinywa,kwenye fizi,na kuzunguka meno,
Hali ambayo hupelekea meno kushambuliwa na vimelea mbali mbali vya magonjwa ikiwemo bacteria.
Kutokufanya usafi wa kinywa na meno sio tu kwamba huweza kusababisha shida kwenye meno, ila hata kinywa kizima huweza kuathirika,
Yapo pia magonjwa mbali mbali ambayo huweza kuleta athari ndani ya kinywa chako kama vile;
– Mashambulizi ya Fangasi ndani ya kinywa
– Maambukizi ya Virusi vya ukimwi au HIV/AIDS n.k
KUMBUKA: Fanya usafi vizuri ndani ya kinywa, pia jikinge na magonjwa yote ikiwemo ya zinaa.
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.