Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

MADHARA YA KUFANYA MAPENZI WAKATI WA PERIOD KWA WANAUME

MADHARA YA KUFANYA MAPENZI WAKATI WA PERIOD KWA WANAUME

madhara ya kufanya tendo la ndoa wakati wa period au hedhi kwa mwanaume.

– Kuwa katika hatari ya kupatwa na shida ya kuziba mrija wa Mkojo

– Maumivu makali wakati wa kukojoa

– maambukizi ya magonjwa mbali mbali ikiwemo UTI n.k

– Kuwa katika hatari yakupata magonjwa hasa hasa katika njia ya mkojo kwani period ni uchafu unaotoka ndani ya mwanamke huku ukiwa na vitu mbali mbali hata vimelea vya magonjwa vikitolewa nje ya mwili.

– Pia Tezi dume huweza kuathirika kutokana na mwanaume kufanya mapenzi mwanamke akiwa siku za period

– Kutokufurahia tendo la ndoa kutokana na kulifanya katika mazingira machafu ya damu,harufu N.k

– Hatari ya kutokumridhisha unayefanya nae tendo la Ndoa

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.