MADHARA YA KUFANYA MAPENZI WAKATI WA PERIOD KWA WANAWAKE
MADHARA YA KUFANYA MAPENZI WAKATI WA PERIOD KWA WANAWAKE
madhara ya kufanya tendo la ndoa wakati wa period au hedhi kwa mwanamke.
• Kama unashida ya kuumwa na tumbo wakati wa hedhi,ukifanya mapenzi wakati ukiwa kwenye hedhi,badala ya kufurahia tendo la ndoa,utapata maumivu makali kupita kawaida
• Kuwa katika hatari ya kupata magonjwa kama vile maambukizi katika via vya uzazi au kwa kitaalam Pelvic Inflammatory disease(PID), kwani uchafu ambao umechanganyika na vimelea vya magonjwa badala ya kutolewa nje,utarudishwa ndani na kuanza kuleta athari katika maeneo mbali mbali kama vile; shingo ya kizazi N.K
• Kufanya mapenzi wakati wa hedhi huweza kuongeza uwezekano wa mwanamke kublid kupita kawaida.
• Mwanamke kupata Maumivu makali ukeni akishiriki tendo la ndoa wakati wa hedhi kutokana na uvimbe wa kuta au mashavu ya uke Wakati wa hedhi
• Kuwa katika hatari ya kutoridhika au kutokufurahia tendo la Ndoa kabsa.
EPUKA TABIA HII YA KUFANYA MAPENZI WAKATI WA HEDHI Kwani ni hatari kwa Afya Yako…!!!!
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.