Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

MATATIZO AMBAYO YANAONGOZA KUMPATA KILA MTU KWENYE VIPINDI TOFAUTI TOFAUTI VYA MAISHA

MATATIZO AMBAYO YANAONGOZA KUMPATA KILA MTU KWENYE VIPINDI TOFAUTI TOFAUTI VYA MAISHA.

Haya ni baadhi ya matatizo ambayo tafkribani kila mtu hupata kwenye vipindi tofauti tofauti vya maisha, matatizo hayo ni kama vile;

– Maumivu makali ya kichwa mara kwa mara

– Kuhisi kichefuchefu na kutapika

– Kuhisi hali ya kizungu zungu

– Maumivu makali ya tumbo

– Mtu kuanza kuharisha

– Mwili kuwa na joto kuliko kawaida au kuwa na Homa

– Kukosa kabsa hamu ya kula

– Kuhisi hali ya Kiungulia au Heartburn

– Tatizo la kupata choo Kigumu au constipation

– Tatizo la kukosa choo kwa muda flani

– Tatizo la tumbo kujaa gesi sana,kuvimbiwa n.k

KUMBUKA: Dalili hizi huweza kuwa kiashiria cha kuonyesha uwepo wa tatizo flani kwenye mwili wako,

Sio za kupuuzia, ukiona unaanza kupata dalili kama hizi, hyo ni ishara kabsa kwamba kuna kitu hakipo sawa hivo mwili wako unatoa taarifa.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.