Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

USALAMA BARABARANI,AFYA NA MAISHA KWANZA

USALAMA BARABARANI,AFYA NA MAISHA KWANZA

Zingatia mambo haya ukiwa barabarani kwa ajili ya afya yako na usalama wako;

1. Usiongee na simu wakati unavuka barabara,wakati unaendesha gari au chombo chochote cha moto

2. Usiendeshe gari au chombo chochote cha moto ukiwa umelewa,

Usivuke baraba au kutembea barabarani ukiwa umelewa

3. Hakikisha unafunga mkanda ukiwa kwenye gari

4. Endesha chombo chochote cha moto kwa mwendo unaotakiwa barabarani

5. Kumbuka kuvaa helment kwa waendesha boda boda

6. Angalia pande zote kabla ya kuanza kuvuka  barabara

7. Usiwaache watoto wadogo wavuke wenyewe barabara,wasaidie

8. Epuka kuweka Earphone na kusikiliza mziki wakati unatembea barabarani,

hakikisha unapata usikivu mzuri wa kila kitu kichoendelea barabarani

9. Hakikisha unaona vizuri uwapo barabarani

10. Tembea sehemu zilizoruhusiwa kwa watembea kwa miguu, endesha gari sehemu zilizoruhusiwa kwa waendesha magari.N.k

#Usalamabarabarani #afyaclass #maisha

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.