Magonjwa
PATA MUDA WA KUTOSHA WA KULALA,UMUHIMU WAKE
PATA MUDA WA KUTOSHA WA KULALA,UMUHIMU WAKE
Tafiti zinaonyesha kwamba,kupata muda mzuri wa kulala usiku angalau masaa 8 kwa mtu mzima,
husaidia sana kuboresha afya ya akili,ikiwa ni pamoja na kurepair seli hai za mwili wako,
Ikiwa unapata muda wa kutosha wa kupumzika pamoja na kulala,
hata uwezo wako wa kufikiri na kufanya maamuzi sahihi unaongezeka.
Epuka matumizi ya dawa ili upate usingizi mara kwa mara, badala yake angalia vitu vinavyokufanya usilale na kuviepuka.
Mlinzi wa kwanza wa afya yako ni wewe mwenyewe.