VIJANA WA KIUME WA SIKU HIZI NA MATUMIZI YA VIAGRA KURIDHISHA WENZA WAO
VIJANA WA KIUME WA SIKU HIZI NA MATUMIZI YA VIAGRA KURIDHISHA WENZA WAO
leo nimeamua kukusogezea story hii,baada ya kuona wimbi kubwa la Vijana wa kiume siku hizi kukimbilia matumizi ya Dawa aina ya Viagra,
Vijana wengi wamejiingiza kwenye matumizi ya Dawa za Viagra ili kuwaridhisha wenza wao au wapenzi wao wakati wa tendo la ndoa,
Huku wengi wao wakidai kwamba wanaupungufu wa nguvu za kiume ndyo maana hukimbilia viagra.
Vijana wa kiume hutumia aina mbali mbali za dawa kama Viagra, Vumbi la Congo na dawa zingine kama hizo,
Kwa lengo la kufanya tendo la ndoa kwa ufasaha, Je unafahamu madhara ya kutumia vitu hivi?
– Na mbaya zaidi, kuna Case nyingi za Wanaume kupoteza maisha kutokana na matumizi ya dawa kama hizi Viagra wakati wa tendo la ndoa.
SOMA ZAIDI HAPA:
1. Matumizi ya Viagra: Bofya hapa
2. Matumizi ya Vumbi la Congo: Bofya hapa
NB:Ushauri wangu kwako;
– Epuka matumizi ya dawa kama hizi Hovio bila maelekezo ya kina kutoka kwa wataalam wa afya
– Akili za mtaani changanya nazako, fanya utafiti wa kina kabla ya kuanza kufanya maamumizi yoyote ya kutumia dawa.