Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Usafi wa Mikono kabla ya Kupaka Dawa(ointment/Cream)

Usafi wa Mikono kabla ya Kupaka Dawa(ointment/Cream)

Moja ya vitu muhimu vya kuzingatia ni Pamoja na usafi wa mikono kabla ya kutumia dawa yoyote,

Hapa nimetolea mfano wa dawa ambazo zipo mfumo wa kupaka yaani ointment au Cream.

Unashauriwa kunawa mikono kwa maji safi, tiririka pamoja na Sabuni,

Hii itakusaidia kuzuia kusambaza uchafu pamoja na vimelea mbali mbali vya magonjwa kutoka mikononi kwenda mwilini.

Hivo jenga Desturi ya kunawa mikono kwa maji safi,tiririka pamoja na Sabuni, kabla ya kuanza kushika na kutumia Dawa Yoyote.

Usafi ni muhimu sana kwako, Zingatia hili..

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.