Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

Kumbuka Haya kama Una allergy na Dawa Zenye Sulphur

Kumbuka Haya kama Una allergy na Dawa Zenye Sulphur,

Baadhi ya watu wakitumia tu Dawa zenye Sulphur ndani yake huanza kupata reactions mbali mbali mwilini,

Kama vile;

– Kuchubuka ngozi ya mwili

– Kuwa kama Umeungua kwenye Mikono

– Kubabuka Sana kwenye ngozi

– Mwili kuwashwa Sana

– Kutokwa na vipele mwilini n.k

Ukiona unapata reactions kama hizi baada ya kutumia dawa zenye SULPHUR ndani yake;

Hakikisha ukienda hosptal kabla Daktari wako hajakuandikia dawa,

Mkumbushe kwamba unapata shida kama hizi baada ya kutumia Dawa zenye Sulphur ndani yake,

Ili Daktari akusaidie kukubadilishia dawa endapo dawa anazotaka kukuandikia zina Sulphur ndani yake.

Soma Hapa:Baadhi ya Dawa Zenye Sulphur Ndani Yake

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.