Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Ubongo wako unaweza kuathiriwa ufanyaji kazi wake na hata Unavyoonekana kwa Kunywa Pombe sana,Tazama Hapa

Ubongo wako unaweza kuathiriwa ufanyaji kazi wake na hata Unavyoonekana kwa Kunywa Pombe sana,Tazama Hapa,

• Ubongo wa Mtu mwenye umri wa Miaka 43 asiyekunywa Pombe

• Na Ubongo wa Mtu mwenye umri wa Miaka 43 anayekunywa Pombe

Licha ya madhara mengi yanayotokana na Unywaji wa Pombe,

Moja ya Viungo ambavyo huathiiriwa zaidi ni Pamoja na Ubongo,Figo na Ini

Ikiwa unakunywa sana kwa muda mrefu, pombe inaweza kuathiri jinsi ubongo wako unavyoonekana na kufanya kazi.

Seli zake huanza kubadilika na hata kuwa ndogo. Pombe nyingi sana zinaweza kupunguza ubongo wako,

– Hali hii huweza kuathiri kwa kiwango kikubwa utendaji kazi wa ubongo,

– Ikiwemo matatizo kama vile ya kupoteza kumbukumbu n.k

Matumizi ya Pombe kupita Kiasi sio Salama kwa afya yako..

SOMA ZAIDI HAPA: Madhara ya Pombe Mwilini

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

2 Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.