Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

athari za uti sugu kwa Mwanamke na Mwanaume

athari za uti sugu kwa Mwanamke na Mwanaume

Je, ni matatizo gani unaweza kuyapata baada ya kuwa na maambukizi ya muda mrefu kwenye njia ya mkojo?

Watu wanaougua UTI sugu wanaweza kupata matatizo mbali mbali,

Maambukizi ya mara kwa mara ya mfumo wa mkojo yanaweza kusababisha:

1. Maambukizi ya Figo,Matatizo ya figo au magonjwa ya figo,

ikiwemo na uharibifu wa kudumu wa figo, hasa kwa watoto wadogo

2. Maambukizi ya bacteria kwenye damu(sepsis),

ambayo huweza kupelekea hata mtu kupoteza maisha kutokana na maambukizi haya

Sepsis: hapa tunazungumzia hali mbaya inayotokana na kuwepo kwa microorganisms hatari katika damu au tishu nyingine na mwili kuanza kupambana kwa uwepo wao,

ambayo hali hii inaweza kusababisha utendaji mbaya wa viungo mbalimbali, mshtuko, na hata kifo.

3. septicemia, hali ambayo huhusisha bakteria tayari wameshaingia kwenye damu

4. kuongezeka kwa hatari ya kuzaa kabla ya wakati au kupata watoto wenye uzito wa chini au mdogo sana

5. Kuathiri mfumo wa uzazi kwa mwanaume na mwanamke n.k

Rejea Pia:

• Dalili za Uti Sugu kwa Mwanamke na Mwanaume, Soma hapa

• Other Source Link

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.