News
Je unaweza kupata UKIMWI kwa kushare vijiko?
Hapana, Baadhi ya watu bado wanaonyesha Unyanyapaa kwa Wagonjwa wa UKIMWI,
Ikiwa ni Pamoja na Kuepuka kutumia Vijiko,Sahani, Vikombe na Vitu jamii ya hivi pamoja na Waathirika wa Ukimwi,
huu ni Unyanyapaa tu, Unachotakiwa kufahamu huwezi kupata maambukizi ya Ukimwi kwa njia kama hii.