Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

Ugonjwa wa upele kwa watoto,chanzo chake

Ugonjwa wa upele kwa watoto,chanzo chake

Katika Makala hii tumechambua na kuorodhesha Sababu za ugonjwa wa upele kwa watoto.

Ugonjwa wa upele kwa watoto

Baadhi ya watoto hupatwa na tatizo la upele(rashes) kwenye ngozi, je ni nini chanzo cha ugonjwa wa upele kwa watoto? Soma hapa kufahamu.

Chanzo cha ugonjwa wa upele kwa watoto

Hizi hapa ni Sababu mbali mbali zinazoweza kusababisha tatizo au ugonjwa wa upele kwa watoto;

1. Tatizo la cellulitis

2. Ugonjwa wa tetekuwanga(chickenpox)

3. Ugonjwa wa pumu ya ngozi au tatizo la eczema

4. Tatizo la erythema multiforme 

5. Baadhi ya magonjwa yanayoshambulia maeneo kama vile;

  • Mikononi
  • Miguuni
  • Pamoja na mdomoni

(hand, foot and mouth disease )

6. Tatizo la impetigo

7. Tatizo la keratosis pilaris (“chicken skin”)

8. Ugonjwa wa Surua kwa watoto(measles)

9. Tatzo la molluscum contagiosum

10. Ugonjwa wa pityriasis rosea

11. tatizo la prickly

12. Tatizo la psoriasis

13. mashambulizi ya baadhi ya minyoo(ringworm)

14. Ugonjwa wa scabies, Ugonjwa huu huweza kusababisha upele kwenye ngozi ya mtoto pia.

15. Tatizo la scarlet fever

16. Tatizo la slapped cheek syndrome

17. Ugonjwa wa urticaria (hives)  n.k

Hizo ndyo baadhi ya Sababu za ugonjwa wa upele kwa watoto

Dawa ya ugonjwa wa upele kwa watoto

Matibabu au Dawa ya Ugonjwa wa upele kwa watoto hutegemea na chanzo chake,

Hivo ni muhimu zaidi kufanya vipimo au kuongea na wataalam wa afya ili kujua chanzo husika cha tatizo au ugonjwa wa upele kwa watoto kabla ya kupewa dawa.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.