Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Nigeria inachangia karibu 25% ya watu wote walio katika hatari ya kupata  YellowFever barani Afrika 

Nigeria inachangia karibu 25% ya watu wote walio katika hatari ya kupata  YellowFever barani Afrika.

Kwa mujibu wa takwimu za shirika la Afya Duniani(WHO);

Nchi ya Nigeria inachangia karibu Asilimia 25% ya watu wote walio katika hatari ya kupata  YellowFever barani Afrika,

Ila Kwa msaada wa @gavi, nchi ilichanja zaidi ya watu milioni 45 dhidi ya ugonjwa huo wakati wa janga la COVID19 kupitia kampeni za kinga na chanjo yaani “preventive and reactive mass vaccination campaigns”

Na haya ni Maelezo kwenye Ukurasa wa WHO;

“Nigeria ?? accounts for nearly 25% of all the people at risk of  YellowFever in Africa ?

With @gavi’s support, the country vaccinated over 45 million people against the disease during the #COVID19 pandemic through preventive and reactive mass vaccination campaigns”

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.