News
Ripoti mpya: Inakadiriwa kuwa watoto milioni 13.4 Kuzaliwa mapema sana
Ripoti mpya: Inakadiriwa kuwa watoto milioni 13.4 Kuzaliwa mapema sana
Ripoti mpya: Inakadiriwa kuwa watoto milioni 13.4 walizaliwa mapema sana mnamo 2020, na karibu milioni 1 wakifa kutokana na matatizo yanayohusiana nayo.
Hii ina maana kwamba mtoto 1 kati ya 10 huzaliwa mapema (kabla ya wiki 37 za ujauzito) duniani kote
Hii ni kwa mujibu wa shirika la afya duniani(WHO).