Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Idadi ya wazee imeongezeka kutoka 2,507,568 mwaka 2012 hadi kufikia 5,008,339 mwaka 2022

Idadi ya wazee imeongezeka kutoka 2,507,568 mwaka 2012 hadi kufikia 5,008,339 mwaka 2022

“Maadhimisho ya Kupinga ukatili Dhidi ya Wazee hufanyika tarehe 15 Juni, Kila mwaka. Kaulimbiu ya mwaka huu ni “Wazee Wanastahili Heshima na Usikivu Wetu”.
Maadhimisho haya yatafanyika katika ngazi ya Mikoa kote nchini- Dkt. Dorothy Gwajima, Waziri wa @maendeleoyajamii

Waziri Dkt. Gwajima amebainisha kuwa
kutokana na kuboreshwa kwa huduma mbalimbali za kijamii nchini idadi ya wazee imeongezeka kutoka 2,507,568 mwaka 2012 hadi kufikia 5,008,339 mwaka 2022 ambayo ni sawa na asilimia 8.1 ya Watanzania 61,741,120.

“Serikali imeendelea kuadhimisha Siku ya  kupinga Ukatili Dhidi ya Wazee kila mwaka ambapo katika kulinda haki ya wazee kuishi, pia  imeendelea kutekeleza Mkakati wa Kitaifa wa Kutokomeza Mauaji kwa Wazee”- Dkt. Dorothy Gwajima, Waziri wa @maendeleoyajami

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.