Leo ni Siku ya Wakimbizi Duniani! Kila mtu ana haki ya kutafuta usalama-WHO
Leo ni Siku Ya Wakimbizi Duniani! Kila mtu ana haki ya kutafuta usalama-WHO
Leo ni SikuYaWakimbizi Duniani! Kila mtu ana haki ya kutafuta usalama, awe nani, popote anapotoka na wakati wowote analazimika kukimbia,
Wakimbizi wote lazima wapate mazingira ya ukarimu na huduma za afya za hali ya juu, bila ubaguzi.
Watu milioni 100 walilazimika kukimbia makazi yao mnamo mwaka 2022 kutokana na migogoro, ghasia, ukiukwaji wa haki za binadamu na mabadiliko ya hali ya hewa.
#Wakimbizi #WHO
Today is #WorldRefugeeDay! 💙 Everyone has the right to seek safety, whoever they are, wherever they come from & whenever they are forced to flee. All #refugees must have access to a hospitable environment & high-quality health care, without discrimination. #WithRefugees 👩🏿👧🏿👧🏿 pic.twitter.com/Rw7h1qebc0
— WHO African Region (@WHOAFRO) June 20, 2023