TANZIA: kifo cha aliyekuwa mtumishi wa Wizara ya Afya Bw. ALEX HENRY KABUHAYA
TANZIA: kifo cha aliyekuwa mtumishi wa Wizara ya Afya Bw. ALEX HENRY KABUHAYA
Uongozi, Menejiment na Watumishi wote wa Wizara ya Afya kwa majonzi makubwa wanasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa mtumishi wa Wizara Bw. ALEX HENRY KABUHAYA kilichotokea 10/06/2023 katika Hospitali ya Rabininsia Jijini Dar Es Salaam.
Marehemu alikuwa akifanya kazi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Temeke katika Kitengo cha Radiolojia (AMO)
Tunaungana na Ndugu, Jamaa na Marafiki kutoa pole za dhati kwa msiba huu mzito.
Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa, Jina lake lihimidiwe.
AMINA.