ย  ย 

Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Watoto 14,000 nchini Kenya huzaliwa kila mwaka na ugonjwa wa Sickle Cell

Watoto 14,000 nchini Kenya huzaliwa kila mwaka na ugonjwa wa Sickle Cell

Kiwango cha chini au kuanzia Watoto 14,000 nchini Kenya huzaliwa kila mwaka na ugonjwa wa Sickle Cell

Kutokana na kukosekana kwa uchunguzi wa watoto wachanga na matibabu yanayofaa, wengi wa watoto hawa hufa bila kutambuliwa utotoni kutokana na sababu zinazoweza kuzuilika kama vile malaria na maambukizi ya bakteria.

Ugonjwa huu hutokea sana kote nchini Kenya huku kaunti 17 zikiwa na mzigo mkubwa zaidi katika maeneo ya Magharibi na Pwani na Nairobi.

Ugonjwa wa Sickle Cell ni ugonjwa wa kurithi wa damu ambapo chembe nyekundu za damu huwa ngumu na kunata na huonekana kama umbo la C “Sickle”.

Mtu mwenye Sickle Cell anaweza kuishi maisha marefu na kufanya shughuli zake ili mradi tu apatiwe uchunguzi wa mara kwa mara na daktari, anywe dawa mara kwa mara, azuie maambukizi kwa njia za usafi kama vile kunawa mikono na kunywa maji mengi.

Soma Zaidi hapa; Ugonjwa huu wa sickle cell au Seli Mundu

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.