Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

SUDAN:Miezi 3 ya vurugu,Vifo zaidi ya 1000,majeruhi 12,000+ na watu zaidi ya millioni 3+ kuhama makazi

SUDAN:Miezi 3 ya vurugu,Vifo zaidi ya 1000,majeruhi 12,000+ na watu zaidi ya millioni 3+ kuhama makazi:

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani(WHO) Dr. Tedros Adhanom Ghebreyesus anasema;

Imekuwa miezi 3 ya vurugu nchini #Sudan, na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 1000, majeruhi 12,000+ na watu zaidi ya millioni 3+ waliohama makazi yao,

Pia kuna ukosefu wa maji, umeme, dawa na huduma za afya.

Tunatoa wito kwa pande zote:
-Waache mashambulizi kwenye afya

– Na pia wahakikishe ufikiaji wa huduma za kibinadamu kila mahali.

Tedros Adhanom Ghebreyesus, director general of the World Health Organization (WHO)

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.