Tiba ya kurefusha maisha inaendelea kubadilisha maisha ya watu wanaoishi na #VVU
WHO:Tiba ya kurefusha maisha Antiretroviral therapy inaendelea kubadilisha maisha ya watu wanaoishi na #VVU.
Kwa Mujibu wa Shirika la Afya Duniani(WHO); Watu wanaoishi na Virusi vya UKIMWI, ambao wamegundulika Mapema na kuanza Tiba mapema,
Pia mbali na kuanza Tiba mapema, wakaanza Dawa zao kwa Maelekezo sahihi kutoka kwa Wataalam wa afya,
wanaweza kutarajia kuwa na afya sawa pamoja na umri wa kuishi sawa na wenzao wasio na VVU.
Antiretroviral therapy continues to transform the lives of people living with #HIV.
People living with HIV who are diagnosed and treated early, and take their medication as prescribed, can expect to have the same health and life expectancy as their HIV-negative counterparts… pic.twitter.com/iSejjVelnT— World Health Organization (WHO) (@WHO) July 23, 2023