Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Breaking News: Kukosekana kwa Umeme nchini, Taarifa ya TANESCO

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa kwa Wateja wake leo August 22,2023 kuwa kumetokea hitilafu ya mfumo katika kituo cha uzalishaji umeme kwa njia ya gesi cha Ubungo II.

“Hitilafu hiyo imesababisha mapungufu ya uzalishaji wa umeme kwa jumla ya megawati 268 kutokuwa kwenye mfumo wa usafirishaji umeme, hivyo baadhi ya maeneo kwenye Mikoa nchini yanakosa huduma ya umeme kwa nyakati tofauti”

“Jitihada za kurekebisha tatizo hilo zinaendelea na tutawataarifu Wateja wetu kila baada ya saa 4 kadri hali ya upatikanaji wa huduma ya umeme itakavyokuwa inaimarika”

“Shirika linawashukuru Wateja wake kwa uvumilivu katika kipindi chote ambacho huduma ya umeme inakosekana”

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.