Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Kesi ya Trump kuonyeshwa kwenye runinga, Wakili wa Trump John Lauro

Wakili wa Trump John Lauro alisema angependelea kesi ionyeshwe kwenye runinga lakini alisisitiza kuwa hayo yalikuwa maoni yake binafsi

Wito unazidi kuongezeka kwa kesi za jinai za Donald Trump kutangazwa moja kwa moja kwenye vyombo vya habari huku Marekani ikikabiliana na matarajio ya kumuona rais wa zamani na pengine baadaye akiwa kizimbani.

Wanasheria na wanasiasa wanajitokeza kushinikiza kamera ziruhusiwe ndani ya chumba cha mahakama haswa wakati rais huyo wa zamani ambaye pia ni nyota wa TV za Reality anapokabiliana na mahakama kwa madai kwamba alijaribu kubatilisha matokeo ya uchaguzi wa urais wa mwaka 2020.

Kwa kuzingatia hali ya kihistoria ya mashtaka yaliyoletwa katika kesi hizi ni vigumu kufikiria hali ya nguvu zaidi ya kesi zinazoonyeshwa kwenye televisheni ilieleza barua iliyotiwa saini Alhamisi na mbunge wa California Adam Schiff na wenzake kadhaa wa Chama cha Democrat.

Ikiwa umma utapokea matokeo kamili itakuwa muhimu sana kwao kushuhudia moja kwa moja iwezekanavyo jinsi kesi zinavyoendeshwa nguvu ya ushahidi uliotolewa na uaminifu wa mashahidi, barua hiyo ilisema.

Wakili wa Trump John Lauro alisema angependelea kesi isikilizwe kwenye runinga lakini katika shoo kadhaa za TV siku ya Jumapili alisisitiza kuwa hayo yalikuwa maoni yake binafsi.

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.