News
Tarehe na mwezi kama wa leo Miaka miwili iliyopita (2021) Tanzania ilimpoteza Mchambuzi Gwiji wa soka Mwalimu Alex Kashasha
KUMBUKIZI:Tarehe na mwezi kama wa leo Miaka miwili iliyopita (2021) Tanzania ilimpoteza Mchambuzi Gwiji wa soka Mwalimu Alex Kashasha
Fahamu,Tarehe na mwezi kama wa leo Miaka miwili iliyopita (2021) Tanzania ilimpoteza Mchambuzi Gwiji wa soka, Mwalimu Alex Kashasha ambaye alifariki wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Kairuki,Dar es Salaam.
Mwalimu Kashasha anakumbukwa kwa misamiati yake mingi ya kitaalamu katika uchambuzi wa mpira.
Unamkumbuka Mwalimu Kashasha kwa tukio lipi? Tuachie maoni yako