Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Ujumbe wa WHO Leo ikiwa ni Siku ya Kibinadamu Duniani

Ujumbe wa Shirika la Afya Duniani(WHO) Leo ikiwa ni Siku ya Kibinadamu Duniani #WorldHumanitarianDay:

WHO imekuwa ikikidhi mahitaji ya kiafya ya watu walio katika hali ngumu zaidi kwa zaidi ya miaka 75.

Katika vita…katika ugomvi,wakati wa mafuriko, ukame, moto na matetemeko ya ardhi yanapotokea…upatikanaji wa huduma za afya ndio tofauti kati ya maisha na kifo.

WHO na washirika hutoa
#AfyaKwaWote
#NoMatterWhat

Today is #WorldHumanitarianDay.

WHO has been meeting the health needs of people in the most difficult situations for over 75 years.

In war…in conflict…when floods, droughts, fires and earthquakes strike…access to healthcare is the difference between life & death.

WHO and partners deliver
#HealthForAll
#NoMatterWhat

More about our work in crises ?bit.ly/3YAluXj

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.