News
Jikinge na mimba zisizotarajiwa baada ya Kuzaa
Wanawake wengi baada ya kujifungua husubiri kwanza waone hedhi ndipo waanze kuchukua tahadhari ya kujikinga na Mimba,
Kumbuka hedhi ni matokeo ya kutokuwa na urutubishaji wa Yai, endapo yai limerutubishwa huwezi ona hedhi kama ulivyokuwa unasubiria ndipo uanze kujikinga,
Hii imepelekea wanawake wengi kubeba mimba ambazo hazijapangwa baada ya kujifungua,
Una mimba nyingine na huku bado unanyonyesha,
JIKINGE NA MIMBA AMBAZO ZIPO NJE YA MPANGO