Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Mtoto wa miezi 10 afanyiwa upasuaji wa kuondoa KIJUSI tumboni

Tulikuwa tunatafuta uvimbe kwenye tumbo la mtoto ambaye amekuwa akilia kwa maumivu kwa miezi kadhaa.

Hata hivyo, tulishangaa kuona vidole vya miguu kwenye tumbo lake, hatukuelewa ni nini,”

Daktari wa upasuaji, Dokta Mushtaq anasema kilichomo tumboni mwa Shazia ni kijusi cha pacha wake. Kijusi kilichoacha kukua katika wiki ya nane au tisa.

“Tuliona umbo la miguu na mikono. Hata vidole. Macho yako nusu,” Mushtaq anasema.

Upasuaji huo ulifanyika katika Hospitali ya Sheikh Zayed huko Rahim Yarkhan, Punjab, Pakistan.

Hiki ni kijusi tumboni mwa mtoto. Hali hii hutokea katika hatua za mwanzo za maendeleo ya kijusi. Pale kiinitete kimoja kinapofunikwa na kiinitete kingine.

Kiinitete cha ndani hakikui vizuri. Kinategemea kiinitete kikuu kwa ajili ya kuishi. Lakini, mapacha wa aina hiyo kawaida hufariki dunia wakati wa kuzaliwa.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.