News
Viongozi wa kijeshi nchini Niger wametangaza kufungua tena anga la nchi hiyo
#Niger: Viongozi wa kijeshi nchini Niger wametangaza kufungua tena anga la nchi hiyo kupisha safari za ndege za kibiashara baada ya kuifunga tangu Agosti 6 baada ya kutwaa madaraka kupitia mapinduzi.
Kitendo cha kufungwa anga ya Niger kilililazimisha shirika la ndege la Ufaransa na mashirika mengine ya barani Ulaya kufuta baadhi ya safari zao na nyingine kulazimika kuzunguuka njia ndefu katika bara la Afrika.