News
WHO:Uchafuzi wa Hewa unaua takriban watu milioni 7 kila mwaka duniani kote
Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani(WHO) ambazo zimetolewa;
Asilimia 99% ya watu duniani sasa wanapumua/kuvuta hewa chafu.
Uchafuzi wa Hewa unaua takriban watu milioni 7 kila mwaka duniani kote
Asilimia 90% ya walioathirika wanaishi katika nchi zenye kipato cha chini na cha kati
WHO:
“99% of the world’s population is now breathing polluted air.
#AirPollution kills around 7⃣ million people each year across the ???
90% of those affected live in low- & middle-income countries”.