Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Bodi ya Michezo ya Kubahatisha kuchangia Tsh. bilioni 170.43 kwenye Pato la Taifa

Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania (GBT) imetimiza miaka 20 tangu kuanzishwa kwake July 01, 2003 ambapo imesema ndani ya miaka hiyo imefanikiwa kuchangia pato la Taifa kufikia Tsh. bilioni 170.43 kwa mwaka, kuongeza ajira kwa vijana na kuvutia uwekezaji wa kampuni 67 za kitaifa na kimataifa.

“Uwepo wa sekta rasmi na pia chombo cha usimamizi ambayo ni GBT imewezesha Sekta ya Michezo ya Kubahatisha kuratibiwa na kudhibitiwa kikamilifu ili kuwalinda Washiriki, Michezo hii inachagiza burudani, inachochea ushindani/ ukuaji wa biashara nchini, na kuzuia athari katika Jamii kiwemo uwezekano wa watoto kujihusisha na michezo ya kubahatisha”

“Mchango wa Sekta katika mfuko mkuu wa Serikali umekuwa ukiongezeka kila mwaka, mfano, mwaka 2006/07 mapato ya kodi yalikuwa ni Tsh 2.8 bilioni mapato hayo yameongezeka hadi Tsh. 170.4 bilioni Mwaka 2022/2023”

“Sekta imekuwa ikichangia 5% ya kodi itokanayo na michezo ya Kubashiri Matokeo (Sports Betting) katika kukuza michezo nchini”

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.